cd
TRIBUTE TO A PATRON OF HORTICULTURE IN ZANZIBAR
Tanzania Horticultural Association (TAHA) convened three (3) interactive meetings in Arusha, Manyara and Mwanza.
Tanzania Horticultural Association(TAHA) ambayo ni taasisi inayosimamia wadau wa matunda, mbogamboga na viuongo, Mamlaka ya biashara tanzania (TANTRADE), kwa kushirikiana na kituo cha biashara ya kimataifa (ITC) chini ya ufadhili wa umoja wa ulaya EU unatekeleza mradi wenye lengo la kuboresha masoko ili kuongeza mauzo ya nje ya nchi(MARKUP).